Sunday, June 9, 2013

Kilimanjaro Premium Lager


.Wimbo Bora wa Mwaka Hip Hop...... ni Dear God wa Kala Jeremiah




Chalz Baba akiwa na Tuzo zake!
 
Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena! Tuzo ya Video Bora ya Mwaka..Baadae!

Burudani ya kutosha katika Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013.

 Ben Pol akiwa kwenye stage na tuzo yake ya Mtunzi Bora wa Mashahiri Bongo Fleva.




No comments: