Friday, March 15, 2013

Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigit Alfred

Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigit Alfred (katikati) akiwa na Mkurugeni wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Kushilla Thomas.
 
 
Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigit Alfred (tatu shoto) akiwa na baadhi ya washiriki wenzake wa Miss Tanzania mwaka jana.
 
 
 Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigit Alfred (katikati) akigonganisha glass na Mkurugeni wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ambao ni Wadhamini wakuu wa Shindano la Miss Tanzania,Kushilla Thomas (kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Lino International Agency waandaaji wa Miss Tanzania,Anko Hashim Lundenga ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa mbio za kumsaka Mrembo wa Redd's Miss Tanzania 2013/14 wakati wa tafrija mchaparo a.k.a mkia wa jogoo (cocktail party),iliyofayika usiku huu kwenye Ukumbi wa Maqee,uliopo Serena Hoteli,jijini Dar es Salaam

 Mapumziko mafupi Baada ya dansi.

 Hii ndio Kamati nzima ya Miss Tanzania.


Mkurugenzi wa Lino International Agency waandaaji wa Miss Tanzania,Anko Hashim Lundenga akizungumza machache wakati wa wakati wa tafrija mchaparo a.k.a mkia wa jogoo (cocktail party) ya uzinduzi rasmi wa mbio za kumsaka Mrembo wa Redd's Miss Tanzania 2013/14,iliyofayika usiku huu kwenye Ukumbi wa Maqee,uliopo Serena Hoteli,jijini Dar es Salaam
 
 Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigit Alfred (katikati) akiwa katika picha pamoja na Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro (kushoto) na Meneja wa vilaji vha Castle Lite na Ndovu,Pamella Kikuli wakati wa tafrija mchaparo a.k.a mkia wa jogoo (cocktail party) ya uzinduzi rasmi wa mbio za kumsaka Mrembo wa Redd's Miss Tanzania 2013/14,iliyofayika usiku huu kwenye Ukumbi wa Maqee,uliopo Serena Hoteli,jijini Dar es Salaam

Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro (kati) akiliongoza Dimba kwa kusakata kwaito.
 
Hapa hakuna alietaka kubaki nyuma kwa magoma yalipamba moto na kila mtu aliyarudi bila kujali nin wala nini.

No comments: