Friday, March 15, 2013

PICHA YA SIKU

Marehemu Max ambaye alikuwa ni mchekeshaji, kwa nyuma ni Ay, Dudubaya na Ray c kwa mujibu wa Zembwela ambaye walikuwa wakifanya kazi na marehemu Max hiyo picha ilikuwa ni kwenye mika 98 flani hivi pande za Mwanza,walikuwa wanaenda kupanda ndege ndo wanarudi Dar.#RIP Max

No comments: