Monday, March 4, 2013

CHEKI PICHA MAMBO YALIVYOKUWA KWENYE PARTY YA WASANII WA BONGO MOVIE DAR LIVE FULL BURUDANI

Kundi la Scorpion Girls likiongozwa na Isabela Mpanda (katikati) likiporomosha burudani wakati wa Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu lililofanyika Dar Live usiku wa kuamkia leo.

Dk. Cheni na mwanadada wakienda sambamba.

Shamsa Ford akisema na mshabiki.

Bi. Mwenda akiwa kapagawa na shangwe za Dar Live.

Bendi ya Twanga Pepeta ikitoa burudani katika Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu lililofanyika Dar Live usiku wa kuamkia leo.

Shilole akiwapa raha mashabiki.



Jack Wolper katika pozi.

Mrembo Rose Ndauka katika pozi.
 



Kingwendu akipozi na watoto katika Red Carpet.
Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam limeacha historia baada ya kutawaliwa na burudani za kila aina kutoka kwa wasanii wa filamu na wale wa Bongo Fleva. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyochukua nafasi wakati wa tamasha hilo.

Jacob Steven 'JB' akionyesha umahiri wake wa kusakata rhumba wakati wa tamasha hilo.




Kingwendu akifanya vitu vyake.

Steve Nyerere naye akionyesha manjonjo yake stejini.

Msanii Afande Sele akiwarusha mashabiki ndani ya Dar Live.

Bi. Mwenda akionyesha machejo yake stejini.

Snura na wanenguaji wake wakilishambulia jukwaa.

Snura Mushi akiwapagawisha mashabiki.
Richie naye akionyesha ufundi jukwaani.


No comments: