Saturday, February 23, 2013

RAPPER WIZ KHALIFA NA AMBER ROSE WAPATA MTOTO WA KIUME....!!


Amber Rose  na mchumba wake Wiz Khalifa  sasa ni wazazi wanaojivunia  kwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume.Sebastian Taylor Thomaz (yes, ikiwa na  a z mwisho) amezaliwa siku ya  jana alhamis mchana Mapema siku hiyo ya jana a proud papa Wiz Khalifa alipost picha akiwa amevaa posted a picture wearing scrubs na   face mask na maelezo yaliyokuwa yakisema  "daddy time."  wakati wa baba mida ya saa nane mchana akipost, "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!!  Everyone welcome this perfect young man into the world"mara ya mwisho wawili hao. Amber na Wiz, walionekana katika tuzo za grammy, wikii mbili  zilizopita, huku rose akionekana na tumbo lake kuuuubwa katika tight dress nyeusi 

 



No comments: