Friday, February 22, 2013

TATHIMINI YA JUMLA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012.

Kati ya watahiniwa 397,136 waliofanya mtihani, waliofaulu ni 126,847 (daraja i-iv)
daraja I- 1,641 (0.4%)
daraja II- 6,453 (1.6%)
daraja III- 15,426 (3.9%)
daraja IV- 103,327 (26.0%)
daraja 0- 240,903 (60.7%)
sasa wanaoweza kwenda form 5 na 6 ambao ni kuanzia daraja la I-III jumla yao ni 23,520 (elfu ishirini na tatu mia tano na ishirini) kati ya wanafunzi 397,136 (laki tatu tisini na saba elfu mia moja thelasini na sita) hii ni sawa na 5.9224%.

No comments: