Saturday, February 23, 2013

MWANAMZIKI WA HIP HOP JCB AFUNGA NDOA NA MZUNGU WAKE


JCB akidondosha  wino kwenye kitabu cha Ndoa..!!


  Msanii wa hip hop kutoka kundi la watengwa ambalo Maskani yake yapo Arusha  JCB Juzi aliuaga ukapela na Kufunga Ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Diana Jorgensen pande za Arusha..!!
 

Diana akidondosha  wino kwenye kitabu cha Ndoa..!!




Picha ya Pamoja ya JCB na Mkewe Diana wakiwa na Ndugu,Jamaa na Marafiki bahada ya kufunga ndoa..!!

No comments: