Saturday, May 11, 2013

SIR ALEX FERGUSON KUSTAAFU SOKA MWISHONI MWA MSIMU HUU

Manager wa timu ya uingereza Manchester United, Alex Ferguson
anatarajiwa kustaafu baada ya kufanya kazi na timu hiyo kwa
zaidi ya miaka 30,club hiyo imetangaza jumatano ya leo

Ferguson mwenye miaka 71 hivi sasa amefanikiwa kusimamia timu hiyo yenye mamilioni ya mashabiki tangu mwaka 1986
katika miaka yaje 26 kama manager wa timu hiyo, alishinda vikombe 30 pamoja na vikombe vikubwa 13
Ferguson ataachia nafasi hiyo baada ya game ya mwisho ya club hiyo kwa msimu huu ambayo itakuwa ni mechi kati yao na Manchester City
haijajulikana bado nani atakae mrith kiti hicho

No comments: